Dar es Salaam News
Sheikh Abdul Nour Salim, Mmisionari wa Kiislamu alisisitiza umuhimu wa kusoma Qur'ani Tukufu hasa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani wakati kitabu cha Mwenyezi Mungu kiliteremshwa. Akaongeza kusema: “Kusoma Qur’ani katika miezi mingine kuna manufaa mengi, lakini katika mwezi huu manufaa yake yameongezeka zaidi ya maradufu. Sheikh Abdul Nour amesimulia kisa cha Palestina na kusema: Msikiti wa Al-Aqswa licha ya kuwa kibla cha kwanza cha Waislamu, ni sehemu takatifu ambapo Mtume Mtukufu rehema na amani ziwe juu yake, katika safari yake ya kutoka Msikiti Mtukufu hadi. Msikiti wa Al-Aqsa, uliswali mahali hapa patakatifu pamoja na mitume wengine.

Katika kuadhimisha kilele cha Siku ya Mwanamke Duniani Kituo cha Utamaduni cha Iran Dar es Salaam kwa kushirikiana na Safina Kimbokota & Neviindie Godrich wamefanya Maonesho ya Sanaa ambayo yamefanyika katika Kituo cha Utamaduni cha Iran kilichopo Upanga Palm Beach, Siku ya Jumanne Tarehe 8 Machi 2022, Tunachukua nafasi hii kuwashukuru sana washiriki wote haswa Ubalozi ya Indonesia, Rais wa Shirikisho la ufundi na Sanaa Tanzania - TAFCA, Dada Safina Kimbokota, Alliance française na Ndiekacha
Chagua Kwa Umakini
Upofu wa Nyekndu Upofu wa Kijani Upofu wa bluu Nyekundu Ngumu Kijani Ngumu Kuona Buluu Ngumu Kuona Monochrome Monochrome maalumMabadiliko ya ukubwa wa maandiko:
badilisha nafasi za maneno:
Badilisha urefu wa mistari:
Badilisha aina ya panya: