Page Number :2

Dar es Salaam News

Official meeting with the Minister of education and vocational training

Tarehe 12 Agosti, 2024, Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Kihirani, Dkt. Mohsen Maarefi, alifanya mkutano na Mheshimiwa Waziri Lela Mohamed Mussa, Waziri wa Elimu wa Zanzibar.

Utawala dhalimu wa Israel unavyo wauwa Wailamu wa Ghaza

Utawala wa kigaidi wa Israel umeua na kujeruhi maelfu ya raia wa kawaida na wasio na hatia wa Palestina na hasa watoto wachanga na wanawake, kwa ajili tu ya kujaribu kufidia na kufunika aibu kubwa

Mkutano wa UN

Raisi amesema hayo katika hotuba yake mbele ya Mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York na kuongeza kuwa, "Dunia inaelekea katika nidhamu mpya ya kimataifa, na mradi wa kuufanya ulimwengu uwe wa Kimarekani umefeli."

Bunge la Iran lawasili Tanzania

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Kamati ya Kilimo, Maji, Maliasili na Mazingira kutoka Bunge la Jamhuri ya Kiislam ya Iran Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo tarehe 5 Septamba, 2023.

Rais wa Iran Ebrahim Raisi akutana na Rais  wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

Rais wa Iran Ebrahim Raisi akutana na Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kando ya mkutano wa 15 wa kundi la nchi zinazoibukia kiuchumi za BRICS mjini Johannesburg, Afrika Kusini, Agosti 24, 2023.

Maoni ya Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mawasiliano la Kiislamu la Iran

kuchomwa kwa kitabu cha mwenyezi mungu ni fadhaa kwa waislamu wote duniani

Ibada ya Hija

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika kikao cha maafisa wanaoshughulikia ibada ya Hija kwamba: Hija ni tukio la kimataifa na miadi ya dunia yenye manufaa mengi ya dunia na Akhera.

Siku kuu ya eid mubarak

hakika waislamu wanasherehekea siku kuu hii ya eid fitr kote ulimwenguni

Ingiza maandiko yako Kisha bonyeza Enter

Mabadiliko ya ukubwa wa maandiko:

badilisha nafasi za maneno:

Badilisha urefu wa mistari:

Badilisha aina ya panya: