
Morteza Pirani
(Morteza Pirani )
kiswahili
(Swahili)
Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema mwenye kurehemu
Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umekuwa ukifanya kazi nchini Tanzania Dar es Salaam tangu mwaka 1993 chini ya usimamizi wa Jumuiya ya Utamaduni na Mawasiliano ya Kiislamu, na hivi sasa Bwana Morteza Pirani ni mwakilishi wa Kituo cha Utamaduni jijini Dar es Salaam.
بسم الله الرحمن الرحیم
رایزنی فرهنگی جمهوری اسلامی ایران در شهر دارالسلام از سال 1371 زیر نظر سازمان فرهنگ و ارتباطات اسلامی مشغول به فعالیت می باشد و هم اکنون آقای مرتضی پیرانی نماینده سازمان فرهنگ و ارتباطات در دارالسلام می باشند.