Page Number :3

Dar es Salaam News

Sherehe za Yalda

Usiku wa Yalda au Usiku wa Chelleh ni moja kati ya sherehe kongwe zaidi za Kiirani. Sherehe hiyo hufanyika ikiwa ni kusherehekea usiku mrefu zaidi wa mwaka, kisha hufuata kipindi cha mchana kuwa mrefu zaidi katika nusu ya kaskazini mwa dunia.

Siku ya Tarehe 18 mwezi wa 11 /2022 Kituo cha Utamaduni cha Iran hapa Dar es Salaam kilipata mwaliko rasmi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Kitengo cha Sanaa (ARTS) kuhudhuria hafla maalumu ya kupokea wanafunzi wapya wa mwaka wa kwanza wa chuo kikuu cha Dar es Salaam..

Siku ya Tarehe 19 mwezi wa 11 /2022 Kituo cha Utamaduni cha Iran hapa Dar es Salaam kilipata mwaliko rasmi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Kitengo cha Sanaa (ARTS) kuhudhuria hafla maalumu ya kupokea wanafunzi wapya wa mwaka wa kwanza wa chuo kikuu cha Dar es Salaam..

Semina Mfumo wa Maisha ya Kiislamu - Dar es Salaam

Siku ya Alkhamisi Kituo cha Iran kilifanya Semina kuhusu Mtume Mtume

Arbaeen Imam Hussein

imam husseini AS

Ujumbe wa Jamiatul Mustafa wakutana na Rais wa Zanzibar Dkt . husseini Mwinyi

Ujumbe wa Jamiatul Mustafa wakutana na Rais wa Zanzibar Dkt . husseini Mwinyi

Rais Samia akutana na Waziri wa Mambo ya nje wa Iran

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mhe. Amir Abdlollahian Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Agosti, 2022.

Zaira ya Waziri wa Mambo ya nje wa Iran - Tanzania

Amir-Abdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliwasili katika uwanja wa ndege wa Dar es Salaam nchini Tanzania akitokea Bamako, mji mkuu wa Mali. Punde baada ya kuwasili Amir-Abdollahian alikaribishwa rasmi na Liberata Mulamula, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kongamano la kumbukizi ya kifo cha Imam Khomeini (RA) lafanyika nchini Tanzania

Kwa mnasaba wa kukumbuka miaka 33 ya kufariki dunia Ayatullah Imam Khomeini (MA), mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kushirikiana na Idara ya Falsafa na Mafunzo ya Dini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Taasisi ya Falah

Ingiza maandiko yako Kisha bonyeza Enter

Mabadiliko ya ukubwa wa maandiko:

badilisha nafasi za maneno:

Badilisha urefu wa mistari:

Badilisha aina ya panya: