Page Number :3
National News

Amir-Abdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliwasili katika uwanja wa ndege wa Dar es Salaam nchini Tanzania akitokea Bamako, mji mkuu wa Mali. Punde baada ya kuwasili Amir-Abdollahian alikaribishwa rasmi na Liberata Mulamula, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Chagua Kwa Umakini
Upofu wa Nyekndu Upofu wa Kijani Upofu wa bluu Nyekundu Ngumu Kijani Ngumu Kuona Buluu Ngumu Kuona Monochrome Monochrome maalumMabadiliko ya ukubwa wa maandiko:
badilisha nafasi za maneno:
Badilisha urefu wa mistari:
Badilisha aina ya panya: