• Jan 22 2022 - 09:32
  • 108
  • Muda wa kusoma : Less than one minute

Mazazi ya Bi Fateh Zahraa (AS)

Kituo cha Utamaduni ch Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kilifanya Sherehe za Mazazi ya Bi Fatima Zahraa (AS) siku ya Jumamosi ya Tarehe 22 Januari 2022 Semina hiyo hiyo ilihudhuriwa na Wanawake mbalimbali wa Dar es Salaam, kutoka madhehebu ya Suni, Shia, Bohra na Wengineo. Semina hiyo yenye kichwa cha habari FAMILIA NA HAKI YA MWANAMKE na wanawake mbalimbali walichangia juu ya mada hiyo. Hafla hiyo ilihudhuriwa na wanawake mbalimbali akiwe Naibu Waziri Mstaafu mama Shamim Khani, mama Riziki Shahari Waziri Mstaafu, Mama Maryam Alvandi mke wa Balozi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hapa Tanzania, Marziye Pirani Mke wa Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Iran na wengineo.

Kituo cha Utamaduni ch Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kilifanya Sherehe za Mazazi ya Bi Fatima Zahraa (AS) siku ya Jumamosi ya Tarehe 22 Januari 2022 

Semina hiyo hiyo ilihudhuriwa na Wanawake mbalimbali wa Dar es Salaam,  kutoka madhehebu ya Suni, Shia, Bohra na Wengineo. 

Semina hiyo yenye kichwa cha habari FAMILIA NA HAKI YA MWANAMKE na wanawake mbalimbali walichangia juu ya mada hiyo.
Hafla hiyo ilihudhuriwa na wanawake mbalimbali akiwe Naibu Waziri Mstaafu mama Shamim Khani, mama Riziki Shahari Waziri Mstaafu, Mama Maryam Alvandi mke wa Balozi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hapa Tanzania, Marziye Pirani Mke wa Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Iran na wengineo.
 
 
 
 
 
مدیر سایت

مدیر سایت

Andika maoni yako.

Jumuiya ya Utamaduni na Mawasiliano ya Kiislamu ni moja ya mashirika ya Iran ambayo yanafungamana na Wizara ya Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu; na ilianzishwa mwaka 1995. [Ziada]

:

:

:

: